Swali: Vipi ikiwa mtu ni imamu ambaye amejua kuwa kuna najisi katika suruwali yake kisha akaendelea kuswali?
Jibu: Imamu anapaswa kurudia swalah yake, lakini maamuma hawapaswi kurudia swalah yao. Kwa sababu wao hawakujua kuhusu najisi hiyo. Hata hivyo ilimlazimu imamu kuteua mbadala wake [pale alipojua kuwa anayo najisi].
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24909/حكم-الصلاة-اذا-علم-الامام-ان-في-ثوبه-نجاسة
- Imechapishwa: 02/01/2025
Swali: Vipi ikiwa mtu ni imamu ambaye amejua kuwa kuna najisi katika suruwali yake kisha akaendelea kuswali?
Jibu: Imamu anapaswa kurudia swalah yake, lakini maamuma hawapaswi kurudia swalah yao. Kwa sababu wao hawakujua kuhusu najisi hiyo. Hata hivyo ilimlazimu imamu kuteua mbadala wake [pale alipojua kuwa anayo najisi].
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24909/حكم-الصلاة-اذا-علم-الامام-ان-في-ثوبه-نجاسة
Imechapishwa: 02/01/2025
https://firqatunnajia.com/imamu-anaendelea-kuswali-licha-ya-kwamba-amekumbuka-nguo-yake-inayo-najisi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)