Swali: Ikiwa mwanamke kawaida huwa anaingia hedhini siku saba… kisha ikabadilika na akapata hedhi mwezi mzima?
Jibu: Hapana, atakaa na aache kuswali na kufunga kwa sababu ya zile siku za ziada za hedhi. Vivyo hivyo ikiwa kawaida yake ni siku saba kisha akaona kuwa amesafika baada ya siku tano, ataoga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24766/ما-تفعل-من-اختلف-عدد-ايام-حيضها-عن-عادتها
- Imechapishwa: 07/12/2024
Swali: Ikiwa mwanamke kawaida huwa anaingia hedhini siku saba… kisha ikabadilika na akapata hedhi mwezi mzima?
Jibu: Hapana, atakaa na aache kuswali na kufunga kwa sababu ya zile siku za ziada za hedhi. Vivyo hivyo ikiwa kawaida yake ni siku saba kisha akaona kuwa amesafika baada ya siku tano, ataoga.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24766/ما-تفعل-من-اختلف-عدد-ايام-حيضها-عن-عادتها
Imechapishwa: 07/12/2024
https://firqatunnajia.com/hedhi-yake-imebadilika-na-kwenda-mwezi-mzima-au-imepungua-siku-5-badala-ya-7/