Swali: Ni lazima kwake kuoga josho la janaba baridi ikiondoka asubuhi?
Jibu: Hapana, hatoirudia. Ataoga peke yake. Hadiyth inasema:
“Udongo ni wudhuu´ wa muislamu hata kama hatopata maji kwa miaka kumi. Akipata maji, basi na amche Allaah na ayafikishe kwenye ngozi yake.”
Swali: Kwa hiyo si lazima kwake kuoga?
Jibu: Ni lazima kwake kuoga kutokana na janaba. Kuhusu kutia wudhuu´ tena upya, hapana ameshatawadha. Ikiwa aliswali, basi swalah yake ni sahihi na hapaswi kurudia chochote. Lakini ataoga kwa ajili ya janaba peke yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24764/هل-يلزم-من-تيمم-لشدة-البرد-الغسل-لاحقا
- Imechapishwa: 07/12/2024
Swali: Ni lazima kwake kuoga josho la janaba baridi ikiondoka asubuhi?
Jibu: Hapana, hatoirudia. Ataoga peke yake. Hadiyth inasema:
“Udongo ni wudhuu´ wa muislamu hata kama hatopata maji kwa miaka kumi. Akipata maji, basi na amche Allaah na ayafikishe kwenye ngozi yake.”
Swali: Kwa hiyo si lazima kwake kuoga?
Jibu: Ni lazima kwake kuoga kutokana na janaba. Kuhusu kutia wudhuu´ tena upya, hapana ameshatawadha. Ikiwa aliswali, basi swalah yake ni sahihi na hapaswi kurudia chochote. Lakini ataoga kwa ajili ya janaba peke yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24764/هل-يلزم-من-تيمم-لشدة-البرد-الغسل-لاحقا
Imechapishwa: 07/12/2024
https://firqatunnajia.com/arudi-swalah-tena-kwa-aliyeswali-kwa-tayammum-kutokana-na-baridi-kali/