Swali: Unasema juu ya mwenye kusema:
“Lisome swali langu kwa Shaykh vinginevyo nitakusomea du´aa mbaya.”?
Jibu: Mwache akuombee du´aa mbaya. Akikuombea du´aa mbaya unadhania kuwa itajibiwa? Huku ni kuchupa mipaka katika kuomba du´aa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
- Imechapishwa: 17/02/2024
Swali: Unasema juu ya mwenye kusema:
“Lisome swali langu kwa Shaykh vinginevyo nitakusomea du´aa mbaya.”?
Jibu: Mwache akuombee du´aa mbaya. Akikuombea du´aa mbaya unadhania kuwa itajibiwa? Huku ni kuchupa mipaka katika kuomba du´aa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
Imechapishwa: 17/02/2024
https://firqatunnajia.com/hebu-mwache-akuombee-duaa-mbaya/