Miongoni mwa mambo ambayo watu wengi hawayatilii umuhimu ni kutowaheshimu watawala. Utakuja vikao vyao vingi wanawasema vibaya watawala. Lau maneno haya yangelikuwa na faida na yanatengeneza hali tungelisema ni sawa. Lakini hayana faida yoyote na hayatengenezi hali. Bali yanazichochea nafsi dhidi ya watawala, ni mamoja ikiwa ni wanazuoni au viongozi. Utakuta kuna watu hamu yao kubwa wanapokaa katika vikao ni kuvunja heshima za wanazuoni, waziri, mtawala au walio juu ya hao. Hili si sahihi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/427)
Miongoni mwa mambo ambayo watu wengi hawayatilii umuhimu ni kutowaheshimu watawala. Utakuja vikao vyao vingi wanawasema vibaya watawala. Lau maneno haya yangelikuwa na faida na yanatengeneza hali tungelisema ni sawa. Lakini hayana faida yoyote na hayatengenezi hali. Bali yanazichochea nafsi dhidi ya watawala, ni mamoja ikiwa ni wanazuoni au viongozi. Utakuta kuna watu hamu yao kubwa wanapokaa katika vikao ni kuvunja heshima za wanazuoni, waziri, mtawala au walio juu ya hao. Hili si sahihi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/427)
https://firqatunnajia.com/hawana-kazi-nyingine-isipokuwa-kuwaponda-watawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket