Swali: Vipi kuhusu ambaye aliishi wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini asikutane naye?
Jibu: Huyu haitwi ”Swahabah”, anaitwa ”Tabiy´”, kama vile as-Swunaabihiy na Ka’b al-Ahbaar, hawa wanaitwa ”Taabi´uun”, ingawa waliishi wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), lakini hawakutana naye. Walikufa kabla ya kukutana naye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Walifika Madiynah baada yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuaga kwake dunia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25176/هل-يعد-صحابيا-من-ادرك-النبي-ولم-يلقه
- Imechapishwa: 14/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)