Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye analingania katika kuyakutanisha makundi na mapote mbalimbali na kuyavumilia makosa yao kwa hoja eti tukusanyike kwa ajili ya ulinganizi?
Jibu: Hili ni kosa muda wa kuwa sio Qur-aan na Sunnah ndio vyenye kuamu na hatuchelei kupotea dini na ´Aqiydah yetu. Kila mara watakuwa wanakuja na kututaka tuache baadhi ya Sunnah na mengineyo ambayo ni katika dini yetu. Ni jambo lisilokuwa la sawa isipokuwa pale tutapoiacha Qur-aan na Sunnah ndio vihukumu.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 404
- Imechapishwa: 24/06/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket