Swali: Ni lini imewekwa katika Shari´ah kuinuka wakati kunapokimiwa swalah? Je, ni wakati wa maneno maalum?
Jibu: Wanasema kuwa imependekezwa kusimama pale muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Lakini hata hivyo sijui dalili yoyote juu ya hili. Asimame pale itapomkuia sahali kwake kusimama. Baadhi ya wengine wanasema asimame pale atapomuona imamu anasimama.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 06/01/2017
Swali: Ni lini imewekwa katika Shari´ah kuinuka wakati kunapokimiwa swalah? Je, ni wakati wa maneno maalum?
Jibu: Wanasema kuwa imependekezwa kusimama pale muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Lakini hata hivyo sijui dalili yoyote juu ya hili. Asimame pale itapomkuia sahali kwake kusimama. Baadhi ya wengine wanasema asimame pale atapomuona imamu anasimama.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 06/01/2017
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-mtu-asimame-wakati-wa-iqaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)