Swali: Je, ni sahihi kwamba mtu akichelewesha Minaa mpaka siku ya 13 Dhul-Hijjah basi hakuna neno akarusha vijiwe kwenye nguzo kabla ya Dhuhr siku hiyohiyo?
Jibu: Hapana. Siku zote za Tashriyq hakuna kurusha vijiwe isipokuwa baada ya kuingia Dhuhr. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichelewa Minaa mpaka siku ya tarehe 13 na akarusha vijiwe kwenye nguzo baada ya kuingia kwa Dhuhr.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/04/2020
Swali: Je, ni sahihi kwamba mtu akichelewesha Minaa mpaka siku ya 13 Dhul-Hijjah basi hakuna neno akarusha vijiwe kwenye nguzo kabla ya Dhuhr siku hiyohiyo?
Jibu: Hapana. Siku zote za Tashriyq hakuna kurusha vijiwe isipokuwa baada ya kuingia Dhuhr. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichelewa Minaa mpaka siku ya tarehe 13 na akarusha vijiwe kwenye nguzo baada ya kuingia kwa Dhuhr.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/04/2020
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-kunarushwa-vijiwe-nguzoni/