Swali: Mimi ni mwanafunzi mwenye umri wa miaka kumi na tisa na nina uwezo wa kuoa. Je, unanipendekeza kuoa kwa miaka hii?
Jibu: Hili ni jambo zuri. Maadamu una uwezo na umejipanga jinsi ya kumwangalia mwanamke, kumhudumia na ukawa unakhofia juu ya nafsi yako fitina, katika hali hii ni wajibu kwako kuoa kwa njia ya uwajibu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)