Swali: Kuna Swahabah aliyechimba kaburi la baba yake. Je, inajulisha kufaa kwa jambo hilo?
Jibu: Huyu ni Jaabir bin ´Abdillaah. Ikiwa mtu anaona kuwa kuna maslahi; kwa mfano maeneo si pazuri, mafuriko, njia au sehemu moja wamezikwa wawili na akataka kumtenganisha kila mmoja kivyake, hapana neno kutokana na maslahi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumkemea Jaabir.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23179/هل-يجوز-نبش-القبر
- Imechapishwa: 23/11/2023
Swali: Kuna Swahabah aliyechimba kaburi la baba yake. Je, inajulisha kufaa kwa jambo hilo?
Jibu: Huyu ni Jaabir bin ´Abdillaah. Ikiwa mtu anaona kuwa kuna maslahi; kwa mfano maeneo si pazuri, mafuriko, njia au sehemu moja wamezikwa wawili na akataka kumtenganisha kila mmoja kivyake, hapana neno kutokana na maslahi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumkemea Jaabir.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23179/هل-يجوز-نبش-القبر
Imechapishwa: 23/11/2023
https://firqatunnajia.com/hapa-itafaa-kuchimbua-kaburi/