337 – Aliulizwa Shaykh wetu kuhusu wale wanaotumia njia ya kuwasiliana kama wanapewa zakaah?
Jibu: Mwombaji ana hali tatu:
1 – Aliyejulikana kuwa ni tajiri. Huyu anaonywa na kukemewa.
2 – Fakiri. Huyu anapewa.
3 – Asiyejulikana hali yake. Huyu anapewa kwa mujibu wa kuenea kwa Aayah na Hadiyth.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
337 – Aliulizwa Shaykh wetu kuhusu wale wanaotumia njia ya kuwasiliana kama wanapewa zakaah?
Jibu: Mwombaji ana hali tatu:
1 – Aliyejulikana kuwa ni tajiri. Huyu anaonywa na kukemewa.
2 – Fakiri. Huyu anapewa.
3 – Asiyejulikana hali yake. Huyu anapewa kwa mujibu wa kuenea kwa Aayah na Hadiyth.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
Imechapishwa: 31/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/hali-tatu-za-waombaji/