Swali: Kuna duara ya kuhifadhi Qur-aan inayoitwa kwa majina ya Maswahabah na wanachuoni. Kuna kosa kufanya hivo?
Jibu: Hakuna neno kwa hilo. Ni kwa ajili iweze kupambanuka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02011436.mp3
- Imechapishwa: 27/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
21. Kuwapa watoto majina ya Maswahabah na waja wema
4- Majina ya waja wema waislamu. al-Mughiyrah bin Shu´bah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: "Walikuwa wakiitwa kwa majina ya Mitume wao na majina ya waja wema wa kabla." Ameipokea Muslim. Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio waja walio…
In "Tasmiyat-ul-Mawluud"
40. Aina ya kumi ya majina yaliyochukizwa
10- Kuna kundi la wanachuoni wameonelea kuchukizwa wanaume kuitwa kwa majina ya Malaika kama Jibraa-iyl, Mikaa-iyl na Israafiyl (´alayhimus-Salaam). Kuhusu wanawake kuitwa kwa majina ya Malaika, udhahiri ni kwamba ni haramu kuwapa majina ya Malaika kwa sababu ni kujifananisha na washirikina waliowafanya Malaika kuwa ni mabanati wa Allaah - Allaah…
In "Tasmiyat-ul-Mawluud"
08. Watoto wa waislamu wanatakiwa ku§itwa namna hii
Utoaji wa jina kumpa mtoto ni jambo sahali na lepesi na himdi zote zinamstahikia Allaah. Ni jambo lisilohitajia utafiti wala kamusi. Utoaji jina kumpa mtoto ni jambo linahusiana tu na kukutana na maana ya Shari´ah na usalama wa kimaumbile. Waislamu wanatakiwa kuhakikisha wamempa mtoto wao mchanga aliyezaliwa: 1- Jina lenye…
In "Tasmiyat-ul-Mawluud"