Swali: Baadhi ya walinganizi wanalinganisha Da´wah ya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na Da´wah ya al-Ikhwaan na Jamaa´at-ut-Tabliygh. Bali baadhi yao wameweka wazi kwamba Da´wah ya al-Ikhwaan na Jamaa´at-ut-Tabliygh ni bora kuliko Da´wah ya Shaykh kwa hoja kwamba ina manufaa mengi zaidi kwa sababu ni yenye kuenea kwa wingi zaidi.
Jibu: Kinachozingatiwa sio kuenea, kinachozingatiwa ni Da´wah iwe ni yenye manufaa zaidi na yenye kuafikiana na Qur-aan na Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 14/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)