Swali: Vipi mtu anatakiwa kutangamana na Ahl-ul-Bid´ah na kwenda kwao kinyuma wanaposema kwamba ni sawa kusherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ni wajibu kwa mtu kujiepusha na watu hawa. Jambo la kwanza mtu anatakiwa kuwanasihi ikiwa unaweza kufanya hivo. Wasipokubali basi jitenge nao mbali. Ikiwa huwezi kuwapa nasaha basi jiepushe nao na wala usikae nao na wala usiwazungumzishe. Ikiwa umelazimika kuitikia salamu yao pindi wanapokutolea au unapokutana nao ukalazimika kuwatolea salamu, lakini hata hivyo ni wajibu kwako usiwaonyeshe tabasamu.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alnajmi.net/voices-action-show-id-118.htm
- Imechapishwa: 02/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)