Swali: Je, inajuzu kuyaita baadhi ya maradhi, kama vile kansa, kwamba ni machafu?
Jibu: Hapana, yasiitwe kuwa ni machafu. Yasifiwe kuwa ni ya khatari. Kwa sababu ni katika makadirio na mipango ya Allaah. Kwa ajili hiyo yasiitwe namna hiyo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 22/11/2019
Swali: Je, inajuzu kuyaita baadhi ya maradhi, kama vile kansa, kwamba ni machafu?
Jibu: Hapana, yasiitwe kuwa ni machafu. Yasifiwe kuwa ni ya khatari. Kwa sababu ni katika makadirio na mipango ya Allaah. Kwa ajili hiyo yasiitwe namna hiyo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 22/11/2019
https://firqatunnajia.com/hakuna-maradhi-mabaya/