Nilimuuza Ahmad kuhusu mwanamke ambaye ni muasi kwa mume wake ana haki ya matumizi. Akajibu:
Hapana.
Haaruun kasema:
Nilimuuza al-Hasan [al-Baswriy] kuhusu mwanamke ambaye ametoka nje ya nyumba licha ya kwamba mume amemkataza hilo na kama ana haki ya kuhudumiwa. Akasema: Ndiyo. Nikamuuliza ni kitu gani atamuhudumia kwacho. Akajibu: Mauwa ya mchanga.
Twariq kasema:
ash-Sha’biy aliulizwa kuhusu mwanamke ambaye ni muasi kwa mume wake. Akajibu: Hana haki yoyote ya matumizi hata kama ataeshi pamoja naye kwa miaka ishirini.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaail-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal, uk. 247
- Imechapishwa: 22/09/2020
Nilimuuza Ahmad kuhusu mwanamke ambaye ni muasi kwa mume wake ana haki ya matumizi. Akajibu:
Hapana.
Haaruun kasema:
Nilimuuza al-Hasan [al-Baswriy] kuhusu mwanamke ambaye ametoka nje ya nyumba licha ya kwamba mume amemkataza hilo na kama ana haki ya kuhudumiwa. Akasema: Ndiyo. Nikamuuliza ni kitu gani atamuhudumia kwacho. Akajibu: Mauwa ya mchanga.
Twariq kasema:
ash-Sha’biy aliulizwa kuhusu mwanamke ambaye ni muasi kwa mume wake. Akajibu: Hana haki yoyote ya matumizi hata kama ataeshi pamoja naye kwa miaka ishirini.
Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaail-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal, uk. 247
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/haki-za-mwanamke-muasi/