Swali: Je, haikuthibiti kuwa wanafunzi wa Maswahabah waliwasomea Qur-aan wafu wao?
Jibu: Kuwasoma Qur-aan wafu ni jambo halina msingi wa wa kutegemea. Hivyo haipaswi kulitegemea hilo. ´Ibaadah ni kwa mujibu wa dalili ya Qur-aan na Sunnah. Huu ndio msingi. ´Ibaadah haziwi kwa maono na kuonelea vizuri. Maono na kuonelea mambo mazuri kunapelekea katika shari kubwa sana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25108/هل-ثبت-عن-السلف-انهم-قراوا-القران-على-امواتهم
- Imechapishwa: 03/02/2025
Swali: Je, haikuthibiti kuwa wanafunzi wa Maswahabah waliwasomea Qur-aan wafu wao?
Jibu: Kuwasoma Qur-aan wafu ni jambo halina msingi wa wa kutegemea. Hivyo haipaswi kulitegemea hilo. ´Ibaadah ni kwa mujibu wa dalili ya Qur-aan na Sunnah. Huu ndio msingi. ´Ibaadah haziwi kwa maono na kuonelea vizuri. Maono na kuonelea mambo mazuri kunapelekea katika shari kubwa sana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25108/هل-ثبت-عن-السلف-انهم-قراوا-القران-على-امواتهم
Imechapishwa: 03/02/2025
https://firqatunnajia.com/haikuthibiti-salaf-kuwasomea-qur-aan-wafu/