Swali: Kuapa kwa msahafu kunahesabiwa ni shirki?
Jibu: Akikusudia yale maneno yaliyomo ndani yake haizingatiwi ni shirki. Na akikusudia yale makaratasi, ngozi na wino inazingatiwa ni shirki. Kwani vitu hivyo vimeumbwa. Hata hivyo ni shirki ndogo:
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au amefanya shirki.”
Kwa hali yoyote kuapa kwa Qur-aan ni jambo halikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 24
- Imechapishwa: 18/01/2025
Swali: Kuapa kwa msahafu kunahesabiwa ni shirki?
Jibu: Akikusudia yale maneno yaliyomo ndani yake haizingatiwi ni shirki. Na akikusudia yale makaratasi, ngozi na wino inazingatiwa ni shirki. Kwani vitu hivyo vimeumbwa. Hata hivyo ni shirki ndogo:
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au amefanya shirki.”
Kwa hali yoyote kuapa kwa Qur-aan ni jambo halikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 24
Imechapishwa: 18/01/2025
https://firqatunnajia.com/haikuthibiti-kutoka-kwa-mtume-wala-maswahabah/