Swali: Rafiki yangu anakaa na Ahl-ul-Bid´ah na anawatetea na nimeshamnasihi. Je, nimsuse ili ajirudi na upi muda wa kumsusa?
Jibu: Rafiki yako akiendelea kukaa na Ahl-ul-Bid´ah na kutangamana nao, siyo halali kwako kumfanya rafiki. Mfano wa kukaa na mtu mwema na muovu ni kama mfano wa muuza miski na mtu mwenye kupuliza moto. Mpe chaguo. Ima aache kukaa na watu wa Bid´ah na upotofu au ufarakane nae.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin Swaalih al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=129510
- Imechapishwa: 10/04/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)