Swali: Je, kuna tofauti kutawassul kwa dhati ya mtu na kutawassul kwa jaha yake?
Jibu: Hakuna tofauti kati yake. Yote mawili yamekatazwa. Haifai kutawassul kwa mtu, kwa dhati yake wala jaha yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
- Imechapishwa: 30/08/2018
Swali: Je, kuna tofauti kutawassul kwa dhati ya mtu na kutawassul kwa jaha yake?
Jibu: Hakuna tofauti kati yake. Yote mawili yamekatazwa. Haifai kutawassul kwa mtu, kwa dhati yake wala jaha yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
Imechapishwa: 30/08/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kutawasali-kwa-mtu/