Swali: Je, kuna tofauti kutawassul kwa dhati ya mtu na kutawassul kwa jaha yake?
Jibu: Hakuna tofauti kati yake. Yote mawili yamekatazwa. Haifai kutawassul kwa mtu, kwa dhati yake wala jaha yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
- Imechapishwa: 30/08/2018
Swali: Je, kuna tofauti kutawassul kwa dhati ya mtu na kutawassul kwa jaha yake?
Jibu: Hakuna tofauti kati yake. Yote mawili yamekatazwa. Haifai kutawassul kwa mtu, kwa dhati yake wala jaha yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
Imechapishwa: 30/08/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kutawasali-kwa-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)