Wema waliotangulia walikuwa ni wenye kushikamana barabara na Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Qur-aan. Vyote viwili ni Wahy na ni wajibu kuvifuata. Hakuna yeyote katika wao alisema:
“Sunnah tu iliyoadhimishwa ndio Wahy.”
Wala hakuna yeyote alisema:
“Maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayakubaliwi isipokuwa kwa dalili au hoja yenye kukubaliwa.”
Hii ni misingi mitatu:
Msingi wa kwanza: Kumtia makosani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika njia za Da´wah ambazo ni zenye kukomeka.
Msingi wa pili: Kusema kuwa Sunnah ni ile tu iliyoadhimishwa.
Msingi wa tatu: Kusema kwamba maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayakubaliwi isipokuwa kwa dalili au hoja yenye kukubaliwa.
Inatosha kumraddi maneno ya Shaykh na ´Allaamah Swaalih al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah) alipoulizwa – kama ilivyo kwa sauti na kwenye tovuti yake:
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kuwa Sunnah ambayo ni Wahy ni ile iliyoadhimishwa tu na anasema vilevile kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikosea katika njia za Da´wah ambapo Mola Wake akawa amemrekebisha na kumtia adabu? Ni ipi hukumu ya maneno haya na kusoma kwa mtu huyu?
Jibu: Haya ni maneno machafu na mabaya. Haijuzu kuyasikiliza na kuyanyamazia. Huku ni kumtukana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
“Wala hazungumzi kwa matamanio yake – hayo ayasemayo si jengine isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” 53:03-04
Huyu anamtia makosani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika mambo ya dini. Mambo ya Shari´ah ni Wahy kutoka kwa Allaah. Kuhusu mambo ya kidunia Mtume anawataka ushauri Maswahabah wake. Mambo ni hivyo. Ama mambo ya Shari´ah ni kwa kukomeka (Tawqiyfiy) na ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa):
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
“Wala hazungumzi kwa matamanio yake – hayo ayasemayo si jengine isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” 53:03-04
- Mhusika: Shaykh ´Arafaat bin Hasan bin Ja´far al-Muhammadiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Bayaan al-Fawriy (01/12-13)
- Imechapishwa: 11/10/2016
Wema waliotangulia walikuwa ni wenye kushikamana barabara na Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Qur-aan. Vyote viwili ni Wahy na ni wajibu kuvifuata. Hakuna yeyote katika wao alisema:
“Sunnah tu iliyoadhimishwa ndio Wahy.”
Wala hakuna yeyote alisema:
“Maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayakubaliwi isipokuwa kwa dalili au hoja yenye kukubaliwa.”
Hii ni misingi mitatu:
Msingi wa kwanza: Kumtia makosani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika njia za Da´wah ambazo ni zenye kukomeka.
Msingi wa pili: Kusema kuwa Sunnah ni ile tu iliyoadhimishwa.
Msingi wa tatu: Kusema kwamba maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayakubaliwi isipokuwa kwa dalili au hoja yenye kukubaliwa.
Inatosha kumraddi maneno ya Shaykh na ´Allaamah Swaalih al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah) alipoulizwa – kama ilivyo kwa sauti na kwenye tovuti yake:
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kuwa Sunnah ambayo ni Wahy ni ile iliyoadhimishwa tu na anasema vilevile kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikosea katika njia za Da´wah ambapo Mola Wake akawa amemrekebisha na kumtia adabu? Ni ipi hukumu ya maneno haya na kusoma kwa mtu huyu?
Jibu: Haya ni maneno machafu na mabaya. Haijuzu kuyasikiliza na kuyanyamazia. Huku ni kumtukana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
“Wala hazungumzi kwa matamanio yake – hayo ayasemayo si jengine isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” 53:03-04
Huyu anamtia makosani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika mambo ya dini. Mambo ya Shari´ah ni Wahy kutoka kwa Allaah. Kuhusu mambo ya kidunia Mtume anawataka ushauri Maswahabah wake. Mambo ni hivyo. Ama mambo ya Shari´ah ni kwa kukomeka (Tawqiyfiy) na ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa):
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
“Wala hazungumzi kwa matamanio yake – hayo ayasemayo si jengine isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” 53:03-04
Mhusika: Shaykh ´Arafaat bin Hasan bin Ja´far al-Muhammadiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Bayaan al-Fawriy (01/12-13)
Imechapishwa: 11/10/2016
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kusikiliza-maneno-ya-al-hajuuriy-wala-kumnyamazia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)