Swali: Kuna ambao wanasema kuwa mtu anaweza kutafuta elimu kupitia vitabu vilivyoshereheshwa na kwa hivyo sio lazima ahudhurie kwa wanachuoni na kuchukua elimu kutoka kwao moja kwa moja. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Huu ni upotevu. Haijuzu kuchukua elimu kutoka vitabuni. Ni lazima kukaa kwa wanachuoni na kuwasomea vitabu na wao washereheshe. Huku ndio kusoma.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (79) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-9-2-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 09/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)