Swali: Wako wanaosema kuwa inafaa kutaka msaada kutoka kwa majini katika yale mambo ambayo wanayaweza?
Jibu: Hapana, haifai upotoshaji huu. Huku ni kufungua mlango wa shari. Majini – kama watakuzungumzisha – katika wale ambao wanapiga kelele, unapaswa kuwaambia kuwa haifai, kwamba ni haramu wanachokifanya, kwamba watoke kwake [mgonjwa] na kwamba haifai kitendo wanachokifanya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24547/حكم-الاستعانة-بالجن-فيما-يقدر-عليه-الجن
- Imechapishwa: 26/10/2024
Swali: Wako wanaosema kuwa inafaa kutaka msaada kutoka kwa majini katika yale mambo ambayo wanayaweza?
Jibu: Hapana, haifai upotoshaji huu. Huku ni kufungua mlango wa shari. Majini – kama watakuzungumzisha – katika wale ambao wanapiga kelele, unapaswa kuwaambia kuwa haifai, kwamba ni haramu wanachokifanya, kwamba watoke kwake [mgonjwa] na kwamba haifai kitendo wanachokifanya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24547/حكم-الاستعانة-بالجن-فيما-يقدر-عليه-الجن
Imechapishwa: 26/10/2024
https://firqatunnajia.com/haifai-kuomba-msaada-kwa-majini/