Swali: Wako wanaosema kuwa inafaa kutaka msaada kutoka kwa majini katika yale mambo ambayo wanayaweza?
Jibu: Hapana, haifai upotoshaji huu. Huku ni kufungua mlango wa shari. Majini – kama watakuzungumzisha – katika wale ambao wanapiga kelele, unapaswa kuwaambia kuwa haifai, kwamba ni haramu wanachokifanya, kwamba watoke kwake [mgonjwa] na kwamba haifai kitendo wanachokifanya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24547/حكم-الاستعانة-بالجن-فيما-يقدر-عليه-الجن
- Imechapishwa: 26/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)