Swali: Tumesikia jinsi baadhi wanasema kuwa Hadiyth ya kwamba Ummah utagawanyika, mayahudi na manaswara ni dhaifu. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Vyanzo vya Hadiyth na daraja yake imebainishwa na kuwekwa wazi. Mapokezi yake yamewekwa wazi. Sio dhaifu. Ikiwa ni dhaifu kupitia isnadi moja, ni Swahiyh kwa njia ingine au kwa isnadi zote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mqirwani–14340317.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2015
Swali: Tumesikia jinsi baadhi wanasema kuwa Hadiyth ya kwamba Ummah utagawanyika, mayahudi na manaswara ni dhaifu. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Vyanzo vya Hadiyth na daraja yake imebainishwa na kuwekwa wazi. Mapokezi yake yamewekwa wazi. Sio dhaifu. Ikiwa ni dhaifu kupitia isnadi moja, ni Swahiyh kwa njia ingine au kwa isnadi zote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mqirwani–14340317.mp3
Imechapishwa: 18/06/2015
https://firqatunnajia.com/hadiyth-ya-kugawanyika-kwa-ummah-ni-dhaifu/