Swali: Makusudio ya ghadhabu hapa ni katika mambo ya kilimwengu?
Jibu: Kwa maana ya kwamba katika yale yanayotokea kati ya watu. Kughadhibika kwa ajili ya Allaah kunasifiwa. Kughadhibika kwa ajili ya Allaah katika kukemea maovu na katika mawaidha na kukumbusha sio yaliyokusudiwa hapa. Huko ni kuwa na wivu kwa ajili ya Allaah. Hiyo ni ghadhabu yenye kutakikana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24174/ما-الفرق-بين-الغضب-لله-والغضب-المذموم
- Imechapishwa: 13/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)