Swali: Je, imeamrishwa kufunika matunda na mambogamboga kabla ya kulala?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kufunika vyombo vya jikoni na kutaja jina la Allaah wakati wa kufanya hivo. Hivyo ndivo inavotakiwa kufanya sawa ikiwa ni kinywaji au chakula kikavukavu. Isipokuwa tu matunda na mbogamboga zilizo na maganda yake.
Swali: Ni sawa kula chakula hicho ikiwa mtu amesahau kukifunika?
Jibu: Akisahau kufunika chakula hicho basi akipeane kwa wanyama. Asikile. Akikila basi amejifanyia vibaya juu ya nafsi yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdur-Razzaaq bin ´Afiyfiy al-´Afiyfiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa wa Rasaa-il-ush-Shaykh ´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy (1/228-229)
- Imechapishwa: 24/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket