Swali: Kuna mtu amemchumbia msichana na amemuona kwa mujibu wa Shari´ah na kukubali kukatimia. Je, anaweza kuomba kumuona kwa mara nyingine kwa kuwa amesahau sura yake na anataka kuhakikisha kukubali kwake?
Jibu: Hakuna. Afunge naye ndoa, amwingilie na ahakikishe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14301
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Kuna mtu amemchumbia msichana na amemuona kwa mujibu wa Shari´ah na kukubali kukatimia. Je, anaweza kuomba kumuona kwa mara nyingine kwa kuwa amesahau sura yake na anataka kuhakikisha kukubali kwake?
Jibu: Hakuna. Afunge naye ndoa, amwingilie na ahakikishe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14301
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/fungua-ndoa-mjamii-halafu-hakikisha__trashed/