Swali: Lau mume na mke watatofautiana kuhusu kwenda mahala, mwanamke anasema ni lazima aende sokoni wakati mume anakataa hilo. Wakavutana na mwishowe kukatoe Talaka. Ni nani ambaye anapata madhambi katika suala hili?
Jibu: Mwanamke ndiye anapata madhambi. Kwa kuwa ni wajibu kwake kumtii mume. Asitoke isipokuwa kwa idhini yake. Hii ni haki ya mume juu yake ya kwamba asitoke nyumbani kwake isipokuwa kwa idhini yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14301
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Lau mume na mke watatofautiana kuhusu kwenda mahala, mwanamke anasema ni lazima aende sokoni wakati mume anakataa hilo. Wakavutana na mwishowe kukatoe Talaka. Ni nani ambaye anapata madhambi katika suala hili?
Jibu: Mwanamke ndiye anapata madhambi. Kwa kuwa ni wajibu kwake kumtii mume. Asitoke isipokuwa kwa idhini yake. Hii ni haki ya mume juu yake ya kwamba asitoke nyumbani kwake isipokuwa kwa idhini yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14301
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/alaumiwe-mume-au-mke-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)