Swali: Mtu kufuga wanyama nyumbani kama mfano wa kuku na wanyamahoa ni katika kuwaudhi majirani?
Jibu: Hakuna mafungamano. Ajizuilie maudhi ya wanyama hao na kutakuwa hakuna neno. Awalee kuku na wanyama wengineo na hapana vibaya. Lakini ajizuilie kumuudhi jirani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21694/هل-من-اذية-الجيران-تربية-الحيوانات
- Imechapishwa: 17/09/2022
Swali: Mtu kufuga wanyama nyumbani kama mfano wa kuku na wanyamahoa ni katika kuwaudhi majirani?
Jibu: Hakuna mafungamano. Ajizuilie maudhi ya wanyama hao na kutakuwa hakuna neno. Awalee kuku na wanyama wengineo na hapana vibaya. Lakini ajizuilie kumuudhi jirani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21694/هل-من-اذية-الجيران-تربية-الحيوانات
Imechapishwa: 17/09/2022
https://firqatunnajia.com/fuga-wanyama-wako-na-usiwaudhi-majirani/