Swali: Mtu kufuga wanyama nyumbani kama mfano wa kuku na wanyamahoa ni katika kuwaudhi majirani?
Jibu: Hakuna mafungamano. Ajizuilie maudhi ya wanyama hao na kutakuwa hakuna neno. Awalee kuku na wanyama wengineo na hapana vibaya. Lakini ajizuilie kumuudhi jirani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21694/هل-من-اذية-الجيران-تربية-الحيوانات
- Imechapishwa: 17/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket