Swali: Je, fisi si mmoja wa wanyama wenye meno ya kuchanja?
Jibu: Lakini fisi ameelezwa kuwa amebaguliwa. Inasemekana kwamba meno yake si ya kuchanja kama ya wanyama wengine wakali. Badala yake ana jino kubwa lililo duara, ambalo hutumika kusaga chakula.
Swali: Kwa hivyo inafaa kumuua fisi?
Jibu: Ndio, fisi ni mnyama halali kuwinda.
Swali: Fisi ana meno makali ya kuchanja?
Jibu: Nimeelezwa kwamba fisi hana meno makali ya kuchanja, badala yake ana jino kubwa lililo duara linalotumika kusaga chakula.
Swali: Je, fisi hula wanyama wakali wanaokula nyama.
Jibu: Fisi amebaguliwa kwa mujibu wa dalili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24970/حكم-قتل-واكل-الضبع
- Imechapishwa: 16/01/2025
Swali: Je, fisi si mmoja wa wanyama wenye meno ya kuchanja?
Jibu: Lakini fisi ameelezwa kuwa amebaguliwa. Inasemekana kwamba meno yake si ya kuchanja kama ya wanyama wengine wakali. Badala yake ana jino kubwa lililo duara, ambalo hutumika kusaga chakula.
Swali: Kwa hivyo inafaa kumuua fisi?
Jibu: Ndio, fisi ni mnyama halali kuwinda.
Swali: Fisi ana meno makali ya kuchanja?
Jibu: Nimeelezwa kwamba fisi hana meno makali ya kuchanja, badala yake ana jino kubwa lililo duara linalotumika kusaga chakula.
Swali: Je, fisi hula wanyama wakali wanaokula nyama.
Jibu: Fisi amebaguliwa kwa mujibu wa dalili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24970/حكم-قتل-واكل-الضبع
Imechapishwa: 16/01/2025
https://firqatunnajia.com/fisi-halali-kumwinda-na-kumla/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)