Swali: Inajuzu kutazama filamu ya katuni iliyo na sihiri, uchawi na mauzauza?
Jibu: Haijuzu kutazama sihiri na uchawi, sawa uwe kwa sura ya filamu za katuni au kitu kingine. Ni haramu. Huku ni kuridhia dhambi. Jambo hili halijuzu. Ni wajibu kulikataza na kulizuia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 23/12/2016
Swali: Inajuzu kutazama filamu ya katuni iliyo na sihiri, uchawi na mauzauza?
Jibu: Haijuzu kutazama sihiri na uchawi, sawa uwe kwa sura ya filamu za katuni au kitu kingine. Ni haramu. Huku ni kuridhia dhambi. Jambo hili halijuzu. Ni wajibu kulikataza na kulizuia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 23/12/2016
https://firqatunnajia.com/filamu-za-katuni-zilizo-na-uchawi-na-ukuhani/