Swali: Je, ni sahihi kwamba haifai kupeana zawadi wala kuiuza?
Jibu: Akishapokea zawadi, basi anakuwa ni mmiliki wayo. Akishaimiliki basi inafaa kwake kuitumia kama anavyotumia mali yake nyingine; anaweza kuiuza, kuipeana, kuitumia na kadhalika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 18/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)