Fanya utakacho kwa zawadi yako

Swali: Je, ni sahihi kwamba haifai kupeana zawadi wala kuiuza?

Jibu: Akishapokea zawadi, basi anakuwa ni mmiliki wayo. Akishaimiliki basi inafaa kwake kuitumia kama anavyotumia mali yake nyingine; anaweza kuiuza, kuipeana, kuitumia na kadhalika.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
  • Imechapishwa: 18/05/2023