Ukiweza kujifanyia jambo lako peke yako, lililo bora na lililopendekezwa usimuombe kiumbe yeyote. Tunachomaanisha kwa kusema “ukiweza”, bi maana bila ya kujikalifisha na bila ya uzito. Yule ambaye mazoea yake siku zote ni kuomba vitu, hili ni jambo limechukizwa. Kinachotakikana kwa mtu ni ajizoweze siku zote kufanya mambo yake mengi anayohitajia [pasi na kumuomba msaada yeyote].
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 284
- Imechapishwa: 14/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)