Swali: Nimeambiwa kwamba inafaa kwa mwanamke kuswali msikitini isipokuwa kutokana na sababu inayokubalika ki-Shari´ah inayomzuia. Lakini mimi ni mtu mwenye wivu na sitaki mke wangu atoke nje na napendelea aswali nyumbani kwake. Je, nitaadhibiwa kwa wivu wangu huu na sintopewa udhuru au ni mwenye kupewa udhuru kwao?
Jibu: Haya yalimtokea ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh). Alikuwa mtu mwenye wivu (Radhiya Allaahu ´anh). Alikuwa hamzuilii mkewe kwa ajili ya kufanya adabu na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa vovyote haitakikani kwa mtu kumzuia mkewe ikiwa hakuna kikwazo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiwazuie wajakazi wa Allaah kutokamana na misikiti ya Allaah.”
Afanye adabu na andiko.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 28/08/2021
Swali: Nimeambiwa kwamba inafaa kwa mwanamke kuswali msikitini isipokuwa kutokana na sababu inayokubalika ki-Shari´ah inayomzuia. Lakini mimi ni mtu mwenye wivu na sitaki mke wangu atoke nje na napendelea aswali nyumbani kwake. Je, nitaadhibiwa kwa wivu wangu huu na sintopewa udhuru au ni mwenye kupewa udhuru kwao?
Jibu: Haya yalimtokea ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh). Alikuwa mtu mwenye wivu (Radhiya Allaahu ´anh). Alikuwa hamzuilii mkewe kwa ajili ya kufanya adabu na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa vovyote haitakikani kwa mtu kumzuia mkewe ikiwa hakuna kikwazo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiwazuie wajakazi wa Allaah kutokamana na misikiti ya Allaah.”
Afanye adabu na andiko.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 28/08/2021
https://firqatunnajia.com/fanya-adabu-na-andiko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)