Swali: Ni maoni yepi yenye nguvu juu ya ule muda wa kusubiri (القروء); inahusiana na ule muda wa hedhi au muda wa kutwahirika?
Jibu: Maoni ya kikosi cha wanazuoni wengi wanaona kuwa ni muda wa hedhi. Maalikiyyah wanaona kuwa ni ule muda wa kutwahirika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 27/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)