Muslim na Ahmad wamepokea kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ndio, nimewasikia ambapo nikawajibu. Du´aa zetu dhidi yao zinajibiwa na du´aa zao dhidi yetu hazijibiwi.”
Baada ya Hadiyth hii Ibn Raahuuyah amepokea kwamba Hassaan bin ´Atwiyyah amesema:
“Hakuna neno kusema “Aamiyn” juu ya du´aa ya mtawa pindi anapokuombea du´aa. Du´aa zao kwetu zinaitikiwa na hawaitikiwi wakiomba kwa nafsi zao wenyewe.”
Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (6/1/493)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Muslim na Ahmad wamepokea kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ndio, nimewasikia ambapo nikawajibu. Du´aa zetu dhidi yao zinajibiwa na du´aa zao dhidi yetu hazijibiwi.”
Baada ya Hadiyth hii Ibn Raahuuyah amepokea kwamba Hassaan bin ´Atwiyyah amesema:
“Hakuna neno kusema “Aamiyn” juu ya du´aa ya mtawa pindi anapokuombea du´aa. Du´aa zao kwetu zinaitikiwa na hawaitikiwi wakiomba kwa nafsi zao wenyewe.”
Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (6/1/493)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-za-makafiri-kuwaombea-waislamu/