Swali: Ukila kwa watu unatakiwa uwaambie:
اللهم بارك لهم فيما رزقتهم
”Ee Allaah! Wabariki katika kile ulichowaruzuku.”?
Jibu: Akila kwa watu awaombee du´aa kwa kusema:
اللهم بارك لهم فيما رزقتهم واغفر لهم وارحمهم، أكل طعامكم الأبرار، وأفطر عندكم الصائمون، وصلت عليكم الملائكة
”Ee Allaah! Wabariki katika kile ulichowaruzuku na uwasamehe na uwarehemu. Wale chakula chenu watu wema, wafuturu kwenu waliofunga na wawaombee du´aa Malaika.”
Haya yanahusiana atayowaambia watu. Kuhusu yanayohusiana na yeye, amuhimidi Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23999/هل-يستحب-لمن-طعم-عند-اناس-الدعاء-لهم
- Imechapishwa: 15/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket