Swali: Du´aa ya kafiri ni yenye kuitikiwa ikiwa amedhulumiwa?
Jibu: Ndio. Du´aa ya mwenye kudhulumiwa ni yenye kupokelewa hata kama ni kafiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Iogope du´aa ya mwenye kudhulumiwa. Kwani hakika hakuna baina yake na baina ya Allaah kizuizi.”
Hili linamuhusu muislamu na kafiri wote wawili. Allaah Anamuitikia du´aa kafiri wakati fulani kama katika hali anapokumbwa na dhiki. Hali kadhalika Allaah Anamuitikia du´aa yake wakati ambapo ni mwenye kudhulumiwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Du´aa ya kafiri ni yenye kuitikiwa ikiwa amedhulumiwa?
Jibu: Ndio. Du´aa ya mwenye kudhulumiwa ni yenye kupokelewa hata kama ni kafiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Iogope du´aa ya mwenye kudhulumiwa. Kwani hakika hakuna baina yake na baina ya Allaah kizuizi.”
Hili linamuhusu muislamu na kafiri wote wawili. Allaah Anamuitikia du´aa kafiri wakati fulani kama katika hali anapokumbwa na dhiki. Hali kadhalika Allaah Anamuitikia du´aa yake wakati ambapo ni mwenye kudhulumiwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-kafiri-alodhulumiwa-inapokelewa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)