Swali: Imepokelewa katika Hadiyth:
”Watu wawili hairudishwi nyuma au ni mara chache inarudishwa nyuma [du´aa yao]: ”Kuomba du´aa wakati wa adhaana.”
Je, hiyo ina maana kwamba tuombe du´aa wakati adhaana inatolewa?
Jibu: Du´aa inaombwa baada ya adhaana na si katikati yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 128
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Imepokelewa katika Hadiyth:
”Watu wawili hairudishwi nyuma au ni mara chache inarudishwa nyuma [du´aa yao]: ”Kuomba du´aa wakati wa adhaana.”
Je, hiyo ina maana kwamba tuombe du´aa wakati adhaana inatolewa?
Jibu: Du´aa inaombwa baada ya adhaana na si katikati yake.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 128
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/duaa-inaombwa-baada-ya-adhaana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)