Swali: Ni kipi bora wakati mtu anapokuwa na muda mrefu afanye Dhikr, Tasbiyh, Tahliyl au asome Qur-aan?
Jibu: Yote ni mazuri. Mara afanye hili na mara afanye lile. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara alikuwa anafanya hili na mara alikuwa anafanya lile. Yote ni matendo mazuri na ni mema. Afanye kile kinachomfurahisha na kumchangamsha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22157/ما-الافضل-عمله-في-وقت-الفراغ-الطويل
- Imechapishwa: 29/10/2022
Swali: Ni kipi bora wakati mtu anapokuwa na muda mrefu afanye Dhikr, Tasbiyh, Tahliyl au asome Qur-aan?
Jibu: Yote ni mazuri. Mara afanye hili na mara afanye lile. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara alikuwa anafanya hili na mara alikuwa anafanya lile. Yote ni matendo mazuri na ni mema. Afanye kile kinachomfurahisha na kumchangamsha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22157/ما-الافضل-عمله-في-وقت-الفراغ-الطويل
Imechapishwa: 29/10/2022
https://firqatunnajia.com/dhikr-au-qur-aan/