Swali: Je, inafaa kwa mvulana kumuoa dada wa mama yake wa kambo?
Jibu: Dada wa mama yake wa kambo sio mama yake mdogo.
Muulizaji: Hapana.
Jibu: Hapana vibaya. Baba anaweza kumuoa mwanamke huyu na mtoto akamuoa dada yake huyo mwanamke. Hapana vibaya muda wa kuwa ni wanawake hao ni dada.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22161/حكم-زواج-الرجل-باخت-زوجة-ابيه
- Imechapishwa: 29/10/2022
Swali: Je, inafaa kwa mvulana kumuoa dada wa mama yake wa kambo?
Jibu: Dada wa mama yake wa kambo sio mama yake mdogo.
Muulizaji: Hapana.
Jibu: Hapana vibaya. Baba anaweza kumuoa mwanamke huyu na mtoto akamuoa dada yake huyo mwanamke. Hapana vibaya muda wa kuwa ni wanawake hao ni dada.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22161/حكم-زواج-الرجل-باخت-زوجة-ابيه
Imechapishwa: 29/10/2022
https://firqatunnajia.com/mtoto-kumuoa-dada-wa-mke-wa-baba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)