Swali: Kuna damu yenye kubaki kwenye nyama baada ya kuchinjwa. Ni najisi?
Jibu: Hapana. Haidhuru. Ni yenye kusamehewa. Damu yenye kubaki katika nyama inaliwa na haidhuru. Ni yenye kusamehewa. Damu ilio ya haramu ni ile yenye kuchuruzika kutoka kwenye mishipa ya koo wakati wa kuchinja. Damu kama hii ndio najisi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Damu inayochuruzika wakati wa kuchinja
Swali: Damu inayotoka kwenye mnyama wakati wa kuchinja ni safi? Jibu: Hapana. Chenye kuchuruzika wakati wa kuchinja ni haramu na ni najisi: قُل لَّا أَجِدُ فِي مَا أُوحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَىٰ طَاعِمٍ يَطْعَمُهُ إِلَّا أَن يَكُونَ مَيْتَةً أَوْ دَمًا مَّسْفُوحًا أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ أَوْ فِسْقًا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّـهِ بِهِ…
In "Damu"
Tofauti ya damu yenye kunyuzurika na isiyonyuzurika
Swali: Kuna faida gani ya kujua tofauti ya damu yenye kunyuzurika na damu isiyonuzurika? Jibu: Damu yenye kunyuzurika ni ile yenye kutoka kwenye mishipa ya pumzi wakati wa kuchinja. Damu isiyokuwa ya kunyuzurika ni ile yenye kubaki kwenye nyama. Wakati mwingine inatokea unakula nyama na kuna damu iliyobakia. Haina neno.…
In "Damu"
Swalah na damu
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kwenye nguo ilio na damu na katika hali ya mtu kutokwa na damu mwilini katikati ya swalah? Jibu: Hakuna neno mtu akiswali kwa nguo ilio na damu inayotokamana na mnyama msafi wakati akiwa hai. Ama damu ikiwa nyingi inayotoka ndani ya swalah basi swalah…
In "Damu"