Swali: Damu inayotoka kwenye mnyama wakati wa kuchinja ni safi?
Jibu: Hapana. Chenye kuchuruzika wakati wa kuchinja ni haramu na ni najisi:
قُل لَّا أَجِدُ فِي مَا أُوحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَىٰ طَاعِمٍ يَطْعَمُهُ إِلَّا أَن يَكُونَ مَيْتَةً أَوْ دَمًا مَّسْفُوحًا أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ أَوْ فِسْقًا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّـهِ بِهِ
“Sema: “Sipati katika yale niliyofunuliwa Wahy kwangu kilichoharamishwa kwa mlaji kukila isipokuwa kiwe ni nyamafu [mzoga] au damu inayomwagika au nyama ya nguruwe – kwani hiyo ni uchafu au ufasiki, kimetajiwa ghairi ya Allaah.” (06:145)
Hii ndio damu yenye kuchuruzika. Ama damu inayobaki kwenye nyama ni safi. Ikiingia kwenye nguo zako haziwi najisi kwa sababu ni safi. Ni yenye kusamehewa na inaliwa pamoja na nyama.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Damu inayotoka kwenye mnyama wakati wa kuchinja ni safi?
Jibu: Hapana. Chenye kuchuruzika wakati wa kuchinja ni haramu na ni najisi:
قُل لَّا أَجِدُ فِي مَا أُوحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَىٰ طَاعِمٍ يَطْعَمُهُ إِلَّا أَن يَكُونَ مَيْتَةً أَوْ دَمًا مَّسْفُوحًا أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ أَوْ فِسْقًا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّـهِ بِهِ
“Sema: “Sipati katika yale niliyofunuliwa Wahy kwangu kilichoharamishwa kwa mlaji kukila isipokuwa kiwe ni nyamafu [mzoga] au damu inayomwagika au nyama ya nguruwe – kwani hiyo ni uchafu au ufasiki, kimetajiwa ghairi ya Allaah.” (06:145)
Hii ndio damu yenye kuchuruzika. Ama damu inayobaki kwenye nyama ni safi. Ikiingia kwenye nguo zako haziwi najisi kwa sababu ni safi. Ni yenye kusamehewa na inaliwa pamoja na nyama.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/damu-inayochuruzika-wakati-wa-kuchinja/