Swali: Ikiwa mtu yuko ndani ya swalah kisha akapiga chafya, je, amsifu Allaah, ni mamoja iwe ni swalah ya faradhi au ya Sunnah?
Jibu: Ndiyo, imesuniwa kwake kumhimidi Allaah. Hii ni kwa sababu imethibiti katika Hadiyth Swahiyh kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimsikia mtu akimhimidi Allaah baada ya kupiga chafya akiwa katika swalah na hakumkataza. Bali alisema:
”Nimeona Malaika kadhaa wakiharakia ambapo kila mmoja wao akitaka kuwa ndiye atakayeiandika.”
Jengine ni kwa sababu kumsifu Allaah ni katika aina ya Dhikr ya swalah na wala hakupingani na swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/352)
- Imechapishwa: 14/03/2026
Swali: Ikiwa mtu yuko ndani ya swalah kisha akapiga chafya, je, amsifu Allaah, ni mamoja iwe ni swalah ya faradhi au ya Sunnah?
Jibu: Ndiyo, imesuniwa kwake kumhimidi Allaah. Hii ni kwa sababu imethibiti katika Hadiyth Swahiyh kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimsikia mtu akimhimidi Allaah baada ya kupiga chafya akiwa katika swalah na hakumkataza. Bali alisema:
”Nimeona Malaika kadhaa wakiharakia ambapo kila mmoja wao akitaka kuwa ndiye atakayeiandika.”
Jengine ni kwa sababu kumsifu Allaah ni katika aina ya Dhikr ya swalah na wala hakupingani na swalah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/352)
Imechapishwa: 14/03/2026
https://firqatunnajia.com/chafya-ndani-ya-swalah/