Swali: Je, mtu achukue maji mapya kwa ajili ya sehemu ambayo haikupata maji au apasugue kwa maji yaliyobaki mkononi?
Jibu: Ikiwa hakujapita muda mrefu tangu wudhuu´ wake, basi inatosha kuosha sehemu hiyo iliyokosa maji. Isipokuwa ikiwa inahusiana na mkono, basi anapaswa kuosha viungo vinavyofuata ili kupatikane ule mpangilio. Ataosha sehemu hiyo iliyokosa maji na viungo vinavyofuata ili kupatikane ule mpangilio. Lakini sehemu hiyo iliyokosa maji ni mguu inatosha kuosha mguu pasi na kitu kingine.
Swali: Watu wengine wakiona sehemu imekosa maji ndani ya swalah hutema mate na wakayaparaza na wanatosheka kufanya hivo?
Jibu: Hapana… Hili ni kosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha yule bwana kurudi kutawadha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24732/كيفية-غسل-اللمعة-عند-الوضوء
- Imechapishwa: 04/12/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket