Swali: Kuna mwanaume amejenga msikiti na akaacha anausia azikwe ndani yake ambapo ukatekelezwa wasia wake. Hivi sasa watu wafanye nini?
Jibu: Wasia huu wa kuzikwa msikitini sio sahihi. Misikiti sio makaburini na wala haijuzu kuzika msikitini. Ni haramu kutekeleza wasia huu. Lililo la wajibu hivi sasa ni kufukua kaburi hili na kulipeleka katika makaburi ya waislamu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/233)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Kuna mwanaume amejenga msikiti na akaacha anausia azikwe ndani yake ambapo ukatekelezwa wasia wake. Hivi sasa watu wafanye nini?
Jibu: Wasia huu wa kuzikwa msikitini sio sahihi. Misikiti sio makaburini na wala haijuzu kuzika msikitini. Ni haramu kutekeleza wasia huu. Lililo la wajibu hivi sasa ni kufukua kaburi hili na kulipeleka katika makaburi ya waislamu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/233)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/bwanyenye-amejenga-msikiti-na-kuusia-azikwe-ndani-yake/