Swali 100: Je, atawadhe mwanamke mwenye hedhi anapotaka kulala?
Jibu: Ndio, kama mtu mwenye janaba kwa sababu wote wanayo hadathi kubwa, ingawa kuna tofauti kati yao kwa kuwa hadathi ya hedhi hudumu kwa muda mrefu[1].
[1] Imesemekana pia kuwa haikusuniwa kwake kufanya hivo, kwa sababu hadathi yake ni yenye kudumu. Isitoshe jambo hilo halikunakiliwa, jambo ambalo ndio sahihi zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 59
- Imechapishwa: 15/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)