Swali: Je, kumsifu Allaah ni bora zaidi kuliko du´aa?
Jibu: Kumsifu ndio bora zaidi, kwani sifa ni aina ya Dhikr. Lakini pale kunapokuwa na haja ya kufanya du´aa, basi du´aa huwa bora zaidi. Mfano wa hayo ni kama du´aa ya Istikhaarah, du´aa ya kusema:
رب اغفر لي
”Mola, nisamehe.”
baina ya sijda mbili na kuomba du´aa katika sujuud. Maeneo hayo ni bora kuliko kisomo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31208/هل-الثناء-على-الله-اعظم-من-الدعاء
- Imechapishwa: 11/10/2025
Swali: Je, kumsifu Allaah ni bora zaidi kuliko du´aa?
Jibu: Kumsifu ndio bora zaidi, kwani sifa ni aina ya Dhikr. Lakini pale kunapokuwa na haja ya kufanya du´aa, basi du´aa huwa bora zaidi. Mfano wa hayo ni kama du´aa ya Istikhaarah, du´aa ya kusema:
رب اغفر لي
”Mola, nisamehe.”
baina ya sijda mbili na kuomba du´aa katika sujuud. Maeneo hayo ni bora kuliko kisomo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31208/هل-الثناء-على-الله-اعظم-من-الدعاء
Imechapishwa: 11/10/2025
https://firqatunnajia.com/bora-kumsifu-allaah-au-kuomba-duaa-za-jumla/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket